Tuesday 26 September 2017

MH. DKT. WAZIRI MWAKYEMBE ATOLEA UFAFANUZI .

Mh. Waziri Dkt.Harrison Mwakyembe akanusha vikali kuagiza kufutwa kwa mashindano ya Urembo 
(Miss Tanzania) na Tuzo za Muziki. Atoa ufafanuzi kuhusu kauli yake aliyoitoa hivi karibuni wakati akihojiwa na kituo kimoja cha radio kuhusu matukio haya muhimu kwa sekta ya Sanaa na Burudani nchini.



No comments:

Post a Comment