Wednesday 18 February 2015

Video ya mkali kutoka Kenya, Rabbit King mwenyewe feat. Rich Mavoko- ‘Njoo’



Rabbit King na Rich Mavoko




Mipaka ya kazi za kisanaa inazidi kupanuka kwa mkali kutoka 255 Bongo Flevani, Rich Mavoko ambaye safari hii moja ya vitu vilivyoonekana sana kwenye ukurasa wake wa Instagram ni PICHAZ akizungumzia ujio wa hii ngoma kutoka Kenya, ambayo Mavoko kapewa collabo.
Wimbo ni wa Rabbit King Kaka unaitwa Njoo’.
Nikimwona roho huskip a beat kama saa, msafi na tattoo ya hearts kwa thigh, pesa unajua kupata, matembezi ya bata, maringo ya tausi…”; hii ni sehemu ya verse kutoka kwa Rabbit mwenyewe.
***chanzo: millardayo.com

 



No comments:

Post a Comment