Wednesday 31 January 2018

TUZO ZA AFRIMMA 2017

Tunampongeza kwa dhati Msanii Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz kwa heshima kubwa aliyotupatia Watanzania kwa kushinda tuzo ya AFRIMMA
Ndugu mdau wa sanaa.., msanii kama Diamond na wasanii wengine kwa ujumla wao ni hazina kubwa kwa taifa letu.
Je, unawashauri wafanye nini ili wavilinde na kuvikuza zaidi vipaji vyao?


No comments:

Post a Comment