Saturday 8 July 2017

R.I.P SHABANI DEDE

Baada ya kumaliza mazishi ya mwanamuziki Shabani Dede kwenye makaburi ya kisutu, pia Katibu Mtendaji wa BASATA Bw. Godfrey Mngereza(pichani katikati), wasanii na wadau wengine wa kazi za sanaa walipata wasaa wa kutembelea kaburi la mwanamuziki nguli Marijani Rajabu mbaye alifariki mwaka 1995 na kuzikwa mkaburi ya Kisutu.


Huyu ni mwanamuziki ambaye kazi yake iliwahi kutumika katika mfumo wa elimu ya Sekondari nchini.


Ipo haja ya kurejesha kazi za mwanamuziki Marijani katika mfumo wa elimu ya Sekondari.


Wengine pichani ni Bw. John Kitime (aliyevaa kofia, huyu ni mwanamuziki mashuhuri nchini) na Bw. Msumari (Katibu wa CHAMUDATA).

No comments:

Post a Comment